SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ATAANZA JUMAMOSI DHIDI YA MAHASIMU SIMBA SC UWANJA WA TAIFA?



Mchezaji ghali zaidi Yanga SC, beki Vincent Bossou (kushoto) akiwa ameketi benchi na kipa Deo Munishi 'Dida' na beki mwingine Pato Ngonyani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mwishoni mwa wiki dhidi ya JKT Ruvu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambao Yanga ilishinda 4-1. Bossou hajacheza mechi yoyote kati ya tatu za awali tangu kuanza kwa Ligi Kuu na Jumamosi timu hiyo itamenyana na mahasimu wao wa jadi, Simba SC, je Mtogo huyo ataanza siku hiyo?

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply