SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

Kiungo mshambuliaji wa Royal Eagles, Uhuru Selemani Mwambungu amefunga bao lake la pili akiwa na kikosi chake hicho.

Uhuru amefunga bao lake la pili wakati Royal Eagles ikitwanga Santos bao 4-0.
Hiyo ni mechi ya pili ya Uhuru, mechi yake ya kwanza dhidi ya Amazulu kwa mabao 2-1 yeye akifunga la ushindi.

“Ilikuwa mechi mgumu sana, lakini namshukuru Mungu nimecheza na kufunga,” alisema.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply