SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Unlabelled / YALIYOJIRI KWENYE MAPOKEZI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA BUKOBA MJINI NA JIMBO LA NKENGE


Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na mmoja wa wadau wa Mabadiliko, Prof. Azaveli Lwaitama, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na mmoja wa wadau wa Mabadiliko, Prof. Azaveli Lwaitama, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.

Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aga Khan kuhudhuria Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, leo Septemba 19, 2015.






Aliyekuwa waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mh Lawrence Masha akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni ya Urais.


Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza, Mh. Ezekia Wenje akihutubia wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.
Mke wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia CHADEMA, Willfred Lwakatare, akimuombea Mumewe Kura kwa Wananchi wa Mji wa Bukoba, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimpongeza Mke wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia CHADEMA, Willfred Lwakatare, mara baada ya kuzungumza na Wananchi wa Bukoba.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia CHADEMA, Willfred Lwakatare, akihutubia wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.

Waziri Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye akihutubia wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Aga Khan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.

ZIARA YA MHESHIMIWA LOWASSA WILAYA YA MISENYI

Mgombea Urais kupitia Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na vyama Vinavyounda Ukawa Edward Lowassa jana ameendelea na kampeni zake ambapo alikuwa wilaya ya Misenyi ambapo alilakiwa na maelfu ya watu.
Lowassa ambapo ametumia mkutano huo kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 25 Octoba mwaka huu kumchagua yeye ili aweze kuwaleta maendeleo kwa watanzania.



«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply