SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / KIPA WA ZAMANI WA TOTTENHAM, SUNDERLAND AFARIKI DUNIA KWA KANSA


Kipa wa zamani wa Sunderland, Marton Fulop amefariki akiwa na umri wa miaka 32.


Fulop amefariki kutokana na ugonjwa wa kansa ambao ulimshambulia kwa muda mrefu.


Kipa huyo alizichezea timu nane za Ligi Kuu england baada ya kujiunga na Tottenham akitokea MTK Budapest  mwaka 2004.


«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply