SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BARCELONA YAENDELEZA VIPIGO, SAFARI HII YAITWANGA AC ROMA 6-1


Barcelona sasa haishikiki, kama unabisha waulize AS Roma ya Italia.


Baada ya kuitwanga Real Madrid mabao 4-0 katika mechi ya La Liga, leo imeangushia kipigo AS Roma cha mabao 6-1 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi na Luis Suarez ambao kila mmoja amefunga mawili, Gerard Pique na Adriano kila mmoja akafunga moja.

Eden Dzeko alifunga bao pekee la Roma lakini akakosa kufunga mkwaju wa penalti kama ilivyokuwa kwa Neymar.


«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply