SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BAWACHA Zanzibar waanza kushusha bendera za CHADEMA kupinga uteuzi wa Viti Maalum

Baraza la wanawake la CHADEMA Zanzibar laanza kufunga ofisi za chama hicho visiwani humo kupinga walichokiita unyonyaji kwa kupinga uteuzi viti maalum.

Baadhi ya Mikoa ya Pemba na Unguja wameanza kushusha bendera za CHADEMA, hawakubaliani na uteuzi wa viti maalum.

Wanadai Zanzibar ilitakiwa ipate nafasi tano za Viti maalum.

Makamu mwenyekiti wa BAWACHA Zanzibar Hamida Abdallah Aweshi amesema wamechoka na ukandamizaji na maamuzi yaliyofikiwa na Chama hicho kutokana na mgawanyo wa hafasi za Viti maalum vya Ubunge, amesema makao makuu ya CHADEMA wamekataa kusikilizwa kilio chao. Amesema wamekosa sehemu ya kupeleka kilio chao.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply