SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Hatari: Nyangumi Akutwa Amekufa Ufukwe wa Coco, Wananchi Wachangamkia Kitoweo na Mafuta

Watanzania nadhani tuna matatizo sana, mtu mwenye akili timamu katika hali ya kawaida huwezi kuta mnyama amekufa ukakimbilia kumfanya kitoweo bila ruksa ya daktari wa mifugo au mamlaka husika. Hata kwenye machinjio yetu lazima daktari athibitishe kuwa kitoweo ni salama kwa matumizi ya binadamu.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply