SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / KIMENUKA SANTIAGO BERNABEU, RAIS WA KLABU ATAKIWA AACHIE NGAZI


Real Madrid pamoja na kuwa nyumbani, imekumbana na kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa wapinzani wake hao wakubwa Barcelona.


Hasira za mashabiki wa Real Madrid sasa zimemuangukia Rais wa klabu hiyo, Florentino Perez na wanataka ajiuzulu kabisaaa.

Uamuzi huo unatokana na wao kuamini hawajibiki ipasavyo na timu hiyo imeingia katika matatizo makubwa ya kushindwa kucheza kwa kiwango huku yeye akiwa kimya.

Mashabiki hao wanaona wamepata aibu kubwa, kwani licha ya kuchapwa mabao hayo manne, lakini Barcelona ndiyo waliotawala mchezo wa dakika zote 90 hiyo jana huku wakionyesha soka la kuvutia kweli kweli.

Mashabiki waliokuwa uwanjani, walikuwa wakizomea huku wakiangalia upande aliokaa Perez ambaye walimuonyesha wanataka aachie ngazi.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply