Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa
kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola
Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege
Posted by Unknown 08:28 0
Tagged with: MATUKIO
Hakuna maoni :