SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Mchungaji TB Joshua Awa Gumzo Mitandao ya Kijamiii Baada ya Kutua Tanzania...Hivyo Ndivyo Watu Wanasema


Baada ya Ujio wa Mchungaji Maarufu Kutoka Nigeria TB Joshua Hapa Tanzania Siku ya Jana Kila mtu Anaongea yako kuhusu ugeni huo, Soma Hapa chini:


filbertmbwambo 
 Maswali magumu!
TB Joshua
1. Amekuja tz kushuudia kuapishwa kwa Magufu!?
2. Amekuja kuleta upatanisho!??
3. Amekuja kutoa maelekezo kuwa nani ni Rais halali??



mrekebishatabia
Ooh TB Joshua karibu tena na tena Tanzania...hata yeye pia hajakutana na EN Lowassa barabarani.
Tena bora amekuja maana nina list ndefu ya maombi maalumu. Huyu mtu nadhan si mchezo...si mnaona shati alilovaa?? Anafaa kabisa kutuombea watanzania hasa wenye mapepo ya Rangi mbali mbali.

udakutz_
TB Joshua baada ya kutua tu katika ardhi ya Tanzania alivua viatu na kanyaga ardhi ya bongo akiwa na soksi tu!! Hii ina maana gani?

linda_ukawa_supporter 
Naomba niwajuze kilichomleta TB Joshua kwa mujibu nilivyoelezwa na mtu wa karibu na Mbatia muda huu nikwamba kaja kunatafrija leo jioni na lengo lake kubwa ni kuwaeleza viongozi husika ukweli wa mambo kuwa mshindi wa urasis ni lowassa na km wanaweza wamuachie nchi maana kuna mapigo Mungu kamuonyesha kuwa watayapata kwa hiyo kaleta ujumbe wa Mungu ili kunawa mikono watakapo kaidi sauti ya Mungu.then km watakaidi pia wakimualika kwenye kumuapisha Magu atahudhuria km wageni wengine.maana yupo nchi kwa siku

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply