SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Moses Iyobo Awacharukia Wanaosema Mpenzi wake Aunty Ezekiel ni Mzee

Aunty Ezekiel na Mpenzi wake Moses Iyobo
Kafunguka! Dansa wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ni mwandani wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson,   amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaomsema Aunt kuwa ni mzee kwa kuwa amempita umri, jambo ambalo hakubaliani nalo.

Dansa wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Moses Iyobo akiwa na mpenzi wake Aunt Ezekiel Grayson

Akizungumza na mwanahabari wetu, Iyobo alitiririka kuwa anawashangaza watu wanaoingilia mapenzi yao kwani yeye anachojua kwenye mapenzi watu hawaangalii umri ila ni upendo na kuheshimiana.

“Nani anasema Aunt ni mzee? Mimi namuona ni mtoto mbichi kabisa,” alisema Iyobo mwenye umri wa miaka 23 huku Aunt akiwa na 29
.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply