SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / DAH! MBUZI WA SHUGHULI AWAFIA KINA NEVILLE, VALENCIA YAIFUATA MAN UNITED EUROPA LEAGUE



Dah! Ndiyo soka, Kocha Garry Neville ameanza na ‘mkosi’ baada ya mechi yake ya kwanza akiwa benchi kuishuhudia Valencia ikitandikwa nyumbani kwa mabao 2-0 na Lyon.


Lyon ya Ufaransa ilionekana kibonde kutoka Kundi H, lakini ushindi wake ndiyo umeiokoa Gent isonge mbele 16 bora huku Valencia ikiporomoka kwenda Europa League.

Sasa kikosi cha Neville kinakwenda kukutana na timu yake ya zamani ya Manchester United ambayo jana iliporomoka huko.

Neville anaifundisha Valencia akiwa anasaidiwa na mdogo wake, Phil Neville na wote waliowahi kuichezea Manchester United kwa mafanikio makubwa.







KINA NEVILLE WAKISHANGILIA BAO, HATA HIVYO MWAMUZI ALISEMA HILO SIO BAO. 




«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply