SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / GIROUD MTAMU KINOMA, APIGA HAT TRICK NA KUIVUSHA ARSENAL HATUA YA MTOANO LIGI YA MABINGWA



Mshambuliaji wa Arsenal, Olviere Giroud amepiga bao tatu, hat trick na kuiwezeusha Arsenal kuitwanga Olympiacos kwa mabao 3-0.


Ushindi huo umeikahikishia Arsenal ikiwa ugenini kuvuka kwenda hatua ya 16 bora ikitokea kundi F baada ya kufikisha pointi 9 kama Olympiacos lakini iko vizuri kwenye tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. 

Nyingine iliyovuka kutoka katika kundi hilo ni Bayern Munich ya Ujerumani.

Olympiacos: 
Roberto, Elabdellaoui, da Costa, Siovas, Masuaku, Kasami, Milivojevic, Seba, Fortounis, Pardo, Ideye.
Subs: Kapino, Botia, Finnbogason, Dominguez, Salino, Hernani, Cambiasso.

Arsenal: 
Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Walcott, Ozil, Campbell, Giroud.
Subs: Ospina, Debuchy, Gibbs, Gabriel, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Iwobi.
Referee: Nicola Rizzoli (Italy)








«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply