• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BENITEZ ATOA SHUKURANI, AWAAGA WACHEZAJI, MASHABIKI MADRID AMTAKIA KILA LA KHERI ZIDANE




Kocha wa zamani wa Real Madrid, Rafa Benitez ameandika ujumbe mrefu kuwashuruku Real Madrid kwa kumpa nafasi ya kuwa kocha wa timu hiyo kwa muda wa miezi sita na ushee.

Benitez amewashukuru mashabiki, viongozi na wachezaji pia kwa kumuunga mkono kwa kipindi chote alichokuwa Madrid kabla ya kutupiwa virago na nafasi yake kupewa Zinedine Zidane ‘Zizzou’.

“Kama mtu niliyekulia katika mji wa Madrid, shabiki wa Madrid lilikuwa jambo kubwa na la kujivunia kupata nafasi ya kuifundisha klabu hii.


“Naondoka lakini niwatakie kila la kheri katika kuiendeleza, pia nimtakie kila la kheri Zidane na benchi zima la ufundi,” ilieleza sehemu ya taarifa hiyo ya Benitez.

«
Next
SERIKALI: TUNA IMANI MBWANA SAMATTA ATASHINDA TUZO LEO USIKU
»
Previous
ANGALIA PICHA GARY NEVILE APATA USHINDI WA KWANZA, VALENCIA IKIITWANGA GRANADA BAO 4-0 COPA DEL REY

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply