SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Diamond Azidi Kuwatia Maumivu Mashabiki wa Wema Sepetu, Adai Ustaa Bila Nyumba ni Shombo Kuvunda

Mwanamuziki Diamond Jioni ya leo Amepost picha hiyo hapo juu na kuandika maneno ya kejeli ambayo mashabiki wa Wema Wameyachukulia kama ni dongo kwa Wema Sepetu..

Diamond Ameandika Haya katika hiyo picha akiwa kwenye Swimming Pool Nyumbani Kwake..

How my Evening is going like.... #StateHouse raha ya Ustar uwe na yako Nyumba, sio Shombo Kuvunda!

Baada ya Muda Picha Hiyo na Meneno hayo kuwekwa Team Wema Wamevamia page hiyo na kuanza kuandika maneno ya Shombo mengine ni ngumu kuyaweka Hapa

Baada ya Comment kutoka katika post hiyo hizi Hapa;


Hilwa05
Sasa ww @diamondplatnumz mwenyewe ushaimba kama hujui maisha yako ya kesho kwanini uandike hayo unaweza kushuka ww na wema akapanda acha dharau hizo


mbitegeko
@yamotoband mna nyumba, @harmonize je ana nyumba ,shettazz una nyumba , shombo nyingine

Ayanig 
Fuck the shut...... Wewe siulikuwa unaishi kwa Wema, unakula kwake Loooo mwanaume kama binti kichwa majii  wewe ...na huyo Zari umkomee Wema

 Edithmadenge
Your so full of hate,I pray that it consumes you@diamondplatnumz


Aluminium_bussiness
unajua kumwambia dai akapime dna ni kama kumvua chupi umwambie atembee barabarani! acheni jamani mtaleta maradhi kwa huyu kaka! tupende masuper star wetu

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply