SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / JUMAMOSI, LEICESTER AU CITY, NANI KUONGOZA, MAN UNITED OLD TRAFFORD NA ‘WATAKATIFU.

LIGI KUU ENGLAND
Ratiba
**Saa za Bongo            
Jumamosi 23 Januari 2016

1545 Norwich v Liverpool   
        
[Mechi kuanza Saa 12 Jioni]
Crystal Palace v Tottenham         
Leicester v Stoke             
Man United v Southampton                  
Sunderland v Bournemouth                  
Watford v Newcastle                  
West Brom v Aston Villa             
2030 West Ham v Man City

LEICESTER-CITY-KINGPOWERSTADIUMLIGI KUU ENGLAND ipo tena kilingeni Wikiendi hii na Liverpool kufungua dimba Ugenini na Norwich hapo Jumamosi na kufuatiwa na Mechi 6 za Saa 12 Jioni na Siku kufungwa Usiku BPL-JAN19huko Upton Park kwa West Ham kucheza na Man City,
Katika Mechi za Saa 12 Jioni, Manchester United, ambao wameanza vyema 2016 baada ya kulegalega Mwezi Desemba, wako kwao Old Trafford kucheza na Southampton ambayo waliifunga 3-2 katika Mechi ya kwanza Msimu huu huko Saint Mary’s Park.      
Vinara wa Ligi, Leicester City, ambao wamefungana kwa Pointi kileleni na Arsenal, wako kwao King Power Stadium kucheza na Stoke City kwenye ambayo inaweza kuwafanya watwae uongozi wa Ligi hasa kwa vile Arsenal wanacheza Jumapili na Chelsea huko Emirates.
Lakini, Leicester wakiteleza, baadae Usiku wa Jumamosi Man City, wakiifunga West Ham huko Upton Park, wanaweza kuongoza Ligi Kuu England.
Jumapili 24 Januari 2016
1630 Everton v Swansea            
1900 Arsenal v Chelsea     

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply