SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / SAMATTA, AUBAMEYANG WAKAAA! PAMOJAA NDANI YA LAGOS





Nyota wa Tanzania, Mbwana Samatta akiwa na mshambuliaji nyota wa Borussia Dortmund ya Ujerumani na timu ya taifa ya Gabon, Pierre Aubameyang walipokutana jijini Lagos, Nigeria hivi punde kabla ya kuanza kwa tamasha la kuwatuza wanasoka bora Afrika.

Samatta anawania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika anayecheza soka barani Afrika wakati Aubameyang anawania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika akichuana na mtetezi wa tuzo hiyo miaka mitatu mfululizo, Yaya Toure na Andre Ayew.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply