SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BOBAN, REDONDO WAPIGA MBILI KILA MMOJA PHIRI AKIANZA KAZI, MBEYA CITY IKIIMALIZA TOTO KWA BAO 5-1.


Mbeya City imeionyesha Toto African namna ya kutembea katika jiji la Mbeya baada ya kuichapa kwa mabao 5-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara.

Ramadhani Chombo 'Redondo' aliifungia Mbeya City mabao mawili, vivyo hivyo Haruna Moshi 'Boban' naye akafunga mawili pia kabla ya Meshack Samwel kufunga la tano.

Mbeya City imeibuka na ushindi huo wa kishindo ikiwa inacheza kwa mara ya kwanza chini ya Kocha Mmalawi, Kinnah Phiri.


Mjini Tanga, African Sports wameamka baada ya kuichapa Mgambo Shooting kwa bao 1-0. Na Kagera Sugar ikagawana pointi na JKT Ruvu kwa sare ya bao 1-1.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply