SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / HALL ASEMA AZAM FC BADO IMO KWENYE MBIO ZA UBINGWA NA ITAPAMBANA ZAIDI.



Baada ya Azam FC kuitwanga Mbeya City kwa mabao 3-0 jana, Kocha Mkuu wa kikosi hicho kutoka Chamazi, Stewart Hall amesema bado wako kwenye nguvu za ubingwa.

Hall raia wa Uingereza amesema wana nafasi ya kuendelea kupigania ubingwa kwa kuwa wana kikosi bora.

“Katika mpira hauwezi kwenda moja kwa moja tu, ikitokea hivyo ujue ni mara chache sana. Lakini sisi bado tuko kwenye mbio za ubingwa.

“Wakati mwingine ni shida kidogo kwa kuwa ukiteleza kidogo watu wanakuwa na maneno hadi yanachanganya. Lakini hakukati tamaa,” alisema.

Azam FC imerejea katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 45 sawa na Simba iliyo katika nafasi tatu. Vinara sasa ni Yanga wakiwa na pointi 46.

Azam FC inaonekana kuwa na advantage zaidi kwa kuwa ina viporo vya mechi mbili ukilinganisha na Simba, kiporo cha mechi moja ukilinganisha na Yanga.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply