SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / SAMATTA AKUMBUSHIA ENZI ZAKE AKIWA NA BOBAN, SURE BOY.


Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta ametupia mtandaoni picha akiwa pamoja na viungo wawili nyota zaidi hasa wakati huo, Haruna Moshi ‘Boban’ na Salum Abubakarr ‘Sure Boy’.

Samatta ametupia picha hiyo akionyesha kumbukumbu ya wakati huo, kwa pamoja walikuwa wakiitumikia Taifa Stars.


Bila ya kujali walivyofanikiwa, watatu wote ni kati ya wachezaji wenye vipaji vya zawadi ya Mungu ambavyo Tanzania imewahi kuzawadiwa.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply