SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / AFCON 2017: MAKUNDI KUENDELEA, JUMATANO TANZANIA UGENINI CHAD, WENZAO NIGERIA, EGYPT KUKIPIGA IJUMAA KADUNA.


AFCON2017-SIT-LOGOMECHI za Makundi za kuwania kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2017, zitakazochezwa huko Gabon Januari 2017, zinaingia Raundi ya 3 kuanzia Jumatano na kuunganishwa na zile za Raundi ya 4 ya Siku 7.

Tanzania, ambao wako Kundi G, Jumatano wapo huko N’Djamena kucheza na Chad na Timu hizi zitarudiana Jijini Dar es Salaam hapo Jumatatu Machi 28.

Wenzao wa Kundi G, Nigeria na Egypt, zitapambana huko Kaduna, Nigeria Siku ya Ijumaa na kurudiana huko Alexandria, Egypt Jumanne Machi 29.
Kwenye Kundi hili, Egypt wanaongoza wakiwa na Pointi 6 baada ya kushinda Mechi zao zote wakifuata Nigeria wenye Pointi 4 na Tanzania Pointi 1 baada ya kutoka Sare 0-0 na Nigeria na kufungwa 3-0 na Egypt.
Chad wako mkiani wakiwa hawana Pointi.

AFCON 2017
MAKUNDI:
KUNDI A: Tunisia, Togo, Liberia, Djibouti
KUNDI B: Madagascar, DRC, Angola, CAR
KUNDI C: Mali, Equatorial Guinea, Benin, South Sudan
KUNDI D: Burkina Faso, Uganda, Botswana, Comoros
KUNDI E: Zambia, Congo, Kenya, Guinea Bissau
KUNDI F: Cape Verde, Morocco, Libya, Sao Tome
KUNDI G: Nigeria, Egypt, Tanzania, Chad
KUNDI H: Ghana, Mozambique, Rwanda, Mauritius
KUNDI I: Cote d’Ivoire, Sudan, Sierra Leone, Gabon
KUNDI J: Algeria, Ethiopia, Lesotho, Seychelles
KUNDI K: Senegal, Niger, Nambia, Burundi
KUNDI L: Guinea, Malawi, Zimbabwe, Swaziland
KUNDI M: Cameroon, South Africa, Gambia, Mauritania
MFUMO:
-Makundi yapo 13 ambapo 12 yana Timu 4 na moja lina Timu 3 lakini Wenyeji Gabon, ambao wanafuzu moja kwa koja kucheza Fainali, wamechomekwa Kundi hilo [KUNDI I] ambapo Mechi zao ni za Kirafiki tu.
-Mshindi wa kila Kundi [Washindi 13] na Timu 2 zitakazomaliza Nafasi za Pili Bora zitatinga Fainali kuungana na Wenyeji Gabon na kufanya Jumla ya Timu 16.

AFCON 2017
RATIBA
Mechi za Makundi
**Saa za Bongo
Jumatano Machi 23
Sao Tome v Libya [Estadio Nacional 12 de Julho] 16:30       
Chad v Tanzania [Idriss Mahamat Ouya] 16:30
South Sudan v Benin [16:30]      
Guinea-Bissau v Kenya [Estádio Nacional 24 de Setembro] 19:00    
Zambia v Congo [Levy Mwanawasa Stadium] 19:00 
  
Alhamisi Machi 24
Madagascar v Central African Republic [Stade Municipal de Mahamasina] 16:30  
Comoros v Botswana [Said Mohamed Cheikh] 17:00  
Djibouti v Liberia [Djibouty] 17:00        
Ghana v Mozambique 18:30 
      
Ijumaa Machi 25
Swaziland v Zimbabwe [Lobamba] 16:00
Gabon v Sierra Leone [Franceville ] 16:30        
Ivory Coast v Sudan [Stade Félix Houphouët-Boigny[] 17:30 
Mauritania v  Gambia [Nouakchott] 17:30       
Nigeria v Egypt [Ahmadu Bello Stadium] 18:00
Guinea v Malawi [28 Septembre] 18:00 
Tunisia v Togo [Stade Mustapha Ben Jannet] 19:00   
Mali v Equatorial Guinea [Stade du 26 Mars] 19:00    
Algeria v Ethiopia [Stade Mustapha Tchaker] 21:30 
   
Jumamosi Machi 26
Mauritius v Rwanda [Belle Vue] 16:00   
Burundi v Namibia [Prince Louis Rwagasore] 16:00    
Congo DR v Angola [Stade des Martyrs de la Pentecote] 16:30      
Cape Verde v Morocco [Praïa , Praïa] 17:00    
Cameroon v South Africa [Stade Municipal de Limbe] 17:30 
Seychelles v  Lesotho [Stade Linite] 17:30       
Senegal v Niger [Stade Léopold Sédar Senghor] 20:00
Burkina Faso v Uganda [Ouagadougou]  21:00 

Jumapili Machi 27
Mozambique  v Ghana [Estádio Nacional do Zimpeto] 17:00  
Kenya v Guinea-Bissau [Nyayo National Stadium] 17:00       
Congo v Zambia [Stade Alphonse Massamba-Débat] 18:30 
  
Jumatatu Machi 28
Liberia v Djibouti                       
Togo v Tunisia                            
Central African Republic v Madagascar                      
Benin  v South Sudan                           
Equatorial Guinea v Mali                      
Botswana v Comoros                           
Uganda v Burkina Faso                        
Libya v Sao Tome                      
Morocco v Cape Verde                         
Tanzania v Chad                        
Rwanda v Mauritius                    
Sierra Leone  v Gabon                          
Sudan v Ivory Coast                   
Lesotho v Seychelles                            
Ethiopia v Algeria                      
Namibia v Burundi                     
Niger  v Senegal                        
Malawi v Guinea                        
Gambia v Mauritania                            
Zimbabwe v Swaziland [National Sports Stadium] 16:00       
Jumanne Machi 29
Angola v Congo DR [Estádio 11 de Novembro] 20:00 
Egypt v Nigeria [Borg El Arab Stadium] 21:00 
South Africa  v Cameroon [Moses Mabhida Stadium] 21:00  
MSIMAMO WA MAKUNDI:
AFCON17-A-E

AFCON17-F-J
AFCON17-K-M
NCHI ZILIZOWAHI KUTWAA UBINGWA WA AFRIKA:
-Egypt-Mara 7
-Cameroon, Ghana-Mara 4
-Nigeria-Mara 3
-Congo DR-Mara 2
-Zambia, Algeria, Congo, Ethiopia, Ivory Coast, Morocco, South Africa, Sudan, Tunisia-Mara 1

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply