SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Mgombea Mmoja wa Urais 2015 Ashindwa Kupiga Kura..Sababu Hizi Hapa.



Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha TLP Macmillan Lyimo ameshindwa kutekeleza haki yake ya msngi na ya kikatiba ya kupiga kura leo baada ya kukosekana kwa fomu namba 19 inayo mruhusu kupiga kura kwa kuwa hayupo kituo chake cha kupigia kura cha Dar es Salaam alichojiandikisha awali ambapo kwa sasa yupo jijini Arusha.

Mbali  na  kukosekana  kwa  fomu  hiyo, Mgombea  huyo  pia  hakuwa  na  kitambulisho  chake  cha  kupigia  kura.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply