SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BENZEMA PEKEE ALIIBUKA MAZOEZINI REAL JANA BAADA YA 4-0 ZA BARCA JUZI



 MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Karim Benzema jana alikuwa mchezaji pekee aliyecheza timu hiyo ikifungwa 4-0 na Barcelona Uwanja wa Santiago Bernabe katika La Liga kuripoti mazoezini.
 
Mfaransa huyo aliibuka mazoezini viwanja vya Valdebebas kuungana na wachezaji ambao hawakucheza El Clasico Jumamosi akina Casemiro, Alvaro Arbeloa and na Lucas Vazquez.
 

Benzema na nyota wenzake wa Real, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo walishindwa kutikisa nyavu za Barca mara moja juzi.

Luisa Suarez alifunga mabao mawili katika ushindi huo, wakati Neymar na Andres Iniesta kila mmoja alifunga bao moja, Real ikipoteza mechi ya kwanza ya La Liga nyumbani baada ya mechi 23. 
  Kikosi kizima cha Real kinatarajiwa kufanya mazoezi kamili leo kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Shakhtar Donetsk

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply