SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / TASWIRA MBILI ZA MWISHO ZA MBWANA SAMATTA KABLA YA KUTUA RASMI GENK.

HAPA NI AMSTERDAM


Mbwana Samatta ameondoka jijini Dar es Salaam, jana usiku. Akipitia Amsterdarm nchini Uholanzi akiwa njiani kwenda Ubelgiji ambako rasmi atajiunga na Genk ambayo ataichezea.

Kulikuwa na mvutano kati ya Genk na TP Mazembe, timu aliyopata nafasi ya kuonyesha uwezi wake kimataifa. Lakini sasa mambo yanaonekana, yamekwiva.
HAPA NI DAR ES SALAAM...
Picha hizo, moja alipiga akiwa jijini Dar es Salaam, dakika chache kabla ya kuruka kwenda Amsterdam na pili akiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Schiphol akisubiri ndege yake ya mwisho takribani saa moja tu hadi Brussels.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply