
Barca wanatinga kwenye Mechi hii wakiwa hawajafungwa katika Mechi 37 na wameshinda Mechi zao 8 zilizopita huku wakiwania kutinga Robo Fainali ya UCL kwa mara ya 10 mfululizo.
Katika Mechi ya kwanza huko Emirates, Bao 2 za Mchezaji Bora Duniani, Lionel Messi, ndizo ziliwapa Barca ushindi wa 2-0 dhidi ya Arsenal.
Mshindi wa Mechi hii atatinga Robo Fainali ya UCL.
Mechi zao zilizopita za Wikiendi:
Barcelona 6-0 Getafe (Juan Rodríguez 8 Kajifunga, El Haddadi 19, Neymar 32 51, Messi 40, Arda Turan 57)
-Ushindi huu umezidi kuwachimbia Barca kileleni mwa La Liga.
Arsenal 1-2 Watford (Ighalo 50, Guedioura 63; Welbeck 88)
-Kipigo hiki kiliwatupa Arsenal nje ya FA CUP ambayo wao walikuwa Mabingwa Watetezi kwa Misimu Miwili iliyopita.
VIKOSIN VINATARAJIWA KUWA:
Barcelona: Ter Stegen; Alves, Mathieu, Mascherano, Alba; Busquets; Rakitić, Iniesta; Messi, Suárez, Neymar.
Hawatacheza: Rafinha (Goti), Sandro (Musuli), Piqué (Kifungo)
Arsenal: Ospina; Bellerín, Mertesacker, Gabriel, Monreal; Coquelin, Elneny; Campbell, Özil, Sánchez; Giroud.
Hawatacheza: Ramsey (Paja), Čech (Musuli), Cazorla (Kifundo cha Mguu), Oxlade-Chamberlain (Goti), Rosický (Paja), Wilshere (Mguu)
Hatihati: Koscielny (Tatizo la Mguu)
REFA: Sergei Karasev (Russia)
UEFA CHAMPIONZ LIGI
RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
Marudiano
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza
JUMANNE 15 MAR 2016
Atletico Madrid v PSV Eindhoven [0-0]
Man City v Dynamo Kiev [3-1]
JUMATANO 16 MAR 2016
Barcelona v Arsenal [2-0]
Bayern Munich v Juventus [2-2]
TAREHE MUHIMU:
Raundi za Mtoano:
-Droo ya Robo Fainali: Machi 18
**Mechi Aprili 5/6 na Marudiano Aprili 12/13
-Droo ya Nusu Fainali: Aprili 15
**Mechi Aprili 26/27 na Marudiano Mei 3/4
FAINALI
Mei 28
San Siro, Milan, Italy
Hakuna maoni :